• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ujenzi

MAJUKUMU YA IDARA YA UJENZI

IDARA YA UJENZI INA VITENGO (SECTION) TATU AMBAZO NI; 

-BARABARA –MAJENGO 

-UMEME NA MITAMBO

 BARABARA

1. Kusimamia matengenezo ya barabara za mji ambazo ziko kwenye ufadhili wa benki ya dunia na kuzikabidhi TARURA baada ya matengenezo na  muda wa matazamio kumalizika.

2. Kutoa ushauri juu ya ujenzi wa barabara na makaravati katika mitaa pale ambapo jamii inatumia nguvu zake,tukishirikiana na Meneja wa TARURA

MAJENGO

1. Kusimamia ujenzi wa majengo ya serikali na wananchi

2. Kutoa vibali vya ujenzi

3. Kukagua majengo yaliyojengwa na kutoa ushauri

4. Kusimamia sheria na taratibu za ujenzi mijini

5. Kuandaa michoro ya ujenzi wa majengo

6. Kuandaa makisio na gharama za ujenzi

UMEME NA MITAMBO

1. Kusimamia utoaji wa huduma ya umeme mijini

2. Kusimamia kazi za umeme zinazofanywa katika majengo ya serikali

3. Kufanya kazi za umeme katika majengo ya serikali

4. Kusimamia kazi zinazofanywa na Greda

5. Kuandaa michoro ya wingizaji umeme katika majengo ya serikali

6. Kuandaa makisio ya vifaa vya umeme kwa wateja wanaohitaji huduma hiyo.

7. Kutatua/kurekebisha matatizo ya umeme katika majengo ya serikali

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE September 10, 2019
  • Tangazo kwa wafanyabiashara Walioshindwa kukamilisha Ujenzi wa Fremu September 12, 2019
  • Majina na Mipaka ya Mitaa iliyopo Katika Eneo la Halmashauri ya Mji Kibaha September 13, 2019
  • Maelekezo_Uchaguzi wa serikali za Mitaa September 23, 2019
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Ushindi wa nanenane Raha!

    August 08, 2019
  • Kibaha Mji yatembelewa na Katibu Mkuu katika maonesho ya Nanenane Morogoro.

    August 07, 2019
  • Hatimaye Miradi yote Kibaha Mji yazinduliwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019.

    July 29, 2019
  • Maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019

    July 01, 2019
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

    Kibaha Town Council

    Anuani ya Posta: P.0.Box 30112

    Simu: 023 240 2938

    Simu ya Kiganjani: Mkurugenz0715390421

    Barua Pepe: td.kibaha@pwani.go.tz & td@kibahatc.go.tz. SIMU: Afisa Mipango Miji: 0754002729 & Afisa Ardhi: 0767506970

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa