• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BANDA LA KIBAHA MJI LAENDELEA KUWA KIVUTIO MAONESHO YA 29 YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI.

Posted on: August 7th, 2022

Na Byarugaba Innocent, Morogoro.

Maelfu ya wahudhuriaji wamefurahishwa na Banda la Halmashauri ya Mji Kibaha kwenye Maonesho ya 29 ya  nanenane yanayoendelea kwenye Viwanja vya Julius Nyerere Mkoani Morogoro.

Maonesho ya nanenane Mwaka huu yamebabe kauli mbiu isemayo;agenda 10/30 Kilimo ni biashara;jiandae kuhesabiwa kwa Mipango bora ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi ambapo kwa Kanda ya Mashariki inayohusisha Mikoa ya Dar-es-Salaam, Pwani, Tanga na mwenyeji Morogoro

Aidha,baada ya Agosti 6,2022 kutembelewa na Wakulima na Maafisa ugani toka Kibaha Mji,leo Agosti 7 Wakuu wa Idara na vitengo wamefika kujionea Maendeleo ya Maonesho yanayoendelea ambapo wameridhishwa na mwenendo chanya waliouona ilhali maandalizi yalikuwa ya muda muda mfupi.

Waliofika leo ni Afisa Utumishi na Utawala Protas Dibogo,Mwanasheria Mansuetha Mbena,Afisa TEHAMA Fred Mwanyelele,Optuna Kasanda na Afisa  Usafishaji Mazingira Ally Hatibu aliyekuja na familia yake.

Aidha,mara baada ya kufika walipokelewa na kupewa Elimu ya kuotesha mbogamboga na mwenyeji wao Afisa Kilimo Joseph Njau na kuonesha kuvutiwa na aina hiyo ya Kilimo kwani kando ya kuwa na eneo dogo unaweza kuzalisha na kupata mavuno ya kutosha.

Baada ya hapo kingine kwenye Banda hilo imekuwa ni Ufugaji wa Samaki ambapo Afisa Samaki Elias Kasema aliwaeleza kuwa ukitaka kufuga kwa tija zaidi wafuge Samaki dume kauli iliyoaawacha midomo wazi kuwa hata Samaki wanajinsia kama walivyo wanyama na Ndege.

"Binafsi leo nimejifunza kitu,sikujua kama unaweza kuwatambua Samaki jike na dume,alisema Dibogo"

Kasema aliongeza kuwa njia rahisi ya kutambua jinsia zao ni rahisi kwani umbo kubwa na uzuri wa rangi ni kiashiria mojawapo cha kuwatambua.

Maeneo mengine waliyotembelea ni ufugaji wa Ng'ombe, Kuku,Kanga,Bata na Bata Mzinga.

Njau na Afisa Mifugo wa Halmashauri ambao ni waandaji Wakuu wa Maonesho haya kwenye halmashauri wametoa rai kwa wananchi hususan wa Kibaha Mjini kufika Kwa wingi kujifunza hasa Kilimo na Ufugaji Mijini kwani unaweza kuwa sehemu ya kukuza vipato katika familia

Maonesho haya yalifunguliwa Agosti 4,2022 na Waziri Mkuu mtaafu Mhe.Mizengo Kayanza Peter Pinda na yanatarajiwa kufungwa kesho Jumatatu Agosti 8,2022 na Makamu wa pili wa Serikali ya Mapinduzi -Zanzibar

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa