• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DAWASA PWANI KIKWAZO UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA KIBAHA

Posted on: July 28th, 2022

Na Byarugaba Innocent,Pwani


Wajumbe wa menejimenti ya wataalam halmashauri ya Mji Kibaha inayowaunganisha Wakuu wa Idara na vitengo wametembelea Mradi wa ujenzi wa Majengo Saba unaoendelea kwenye hospitali ya Wilaya Lulanzi yanayogharimu Bilioni 1.3 mpaka kukamilika.


Serikali ya Tanzania inayoongozwa na  Mhe.Samia Suluhu Hassan imeidhinisha kiasi kikubwa cha fedha ili kupanua wigo wa utoaji wa huduma za kitabibu kwa wananchi wake sambamba na kuwapunguzia safari ndefu za kufuata huduma hizo kwenye maeneo mengine ikiwemo hospitali ya Tumbi na hospitali ya Muhimbili-Mloganzila.


Katibu wa afya Prosper Juma ameyataja Majengo yanayojengwa kuwa ni wodi ya Wanaume,wanawake na watoto zitakazogharimu milioni 500 na Sasa zipo hatua ya umaliziaji.Aidha,majengo matatu ya  upasuaji na jengo la kuhifadhia maiti yatagharimu milioni 800 na Sasa yapo hatua ya jamvi na Kupandisha Kuta.


Mganga mfawidhi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dr.Sabinusi Ndunguru ameeleza kuwa changamoto sugu ya kukosekana kwa Maji hivyo kama mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira (DAWASA) wataendelea kutokuwa na ushirikiano Mradi hautakamilika kwa wakati hivyo kuwa kero kwa wananchi badala ya neema.


"DAWASA tumewapelekea hoja ya kukosa Maji muda mrefu lakini hatuoni mwitikio wao,tumewafuata Ofisini kuwakumbusha mara kwa mara bado hatupati matumaini ya Maji,nahofia Mradi huu kukamilika kwa kuchelewa"amesema Dr.Ndunguru.


Aidha,amesema kuwa wakati wa kuanza ujenzi wa hospitali hiyo.... halmashauri kwa gharama za Mapato ya ndani kiasi cha zaidi ya milioni 20 ilinunua bomba lake na kuliunganisha kwenye bomba kubwa umbali wa takribani Kilomita 2.5 hata hivyo DAWASA walilichepusha na kuwaunganishia wananchi na kufifisha Kasi ya Maji kufika hospitalini.


Mhandisi wa Halmashauri ya Mji Kibaha John Alexander Kuna zaidi ya Majengo matano wakandarasi wamesimama kutokana na ukosefu wa Maji na kwamba hali hiyo ni kiashiria cha kutokamilika kwa wakati


Mhandisi Alexander ameongeza kuwa mpaka sasa zaidi ya milioni 1.5 zimetumika kununua Maji ya boza kama sehemu ya kwenda na kasi ya Ujenzi unatakiwa kutamatishwa Oktoba 15  2022 lakini gharama ni kubwa na kama wataendelea wataathirika kwenye bajeti kwani kwenye fedha ya Serikali hakuna fungu la ununuzi wa Maji .


Hata hivyo,katika harakati za kukwamua Mradi kukwama menejimenti ilikwenda Ofisi za DAWASA Kibaha na kukutana na mwanasheria wao Humphrey Massawe aliyekiri uwepo wa tatizo hilo na kuahidi kulifikisha kwenye mamlaka za juu kwa utekelezaji.


Mpaka sasa jumla ya bilioni 3.39 zimeshatolewa na Serikali kwa ajili ya hospitali ya Wilaya Lulanzi.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa