• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC KIBAHA ABARIKI WAZAZI KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

Posted on: November 21st, 2021

DC KIBAHA ABARIKI WAZAZI KUCHANGIA CHAKULA SHULENI


Na.Innocent Byarugaba, Kibaha


Mkuu wa wilaya ya kibaha Mhe.Sara Msafiri amewataka wazazi na walezi wa watoto wanaosoma shule za msingi kwenye halmashauri ya Mji Kibaha kuwachangia chakula shuleni ili kuinua kiwango cha elimu.


Hayo ameyaeleza mwanzoni mwa wiki kwenye halfa ya uzinduzi wa kampeni ya utoaji chakula shuleni iliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Kongowe.


Msafiri alibainisha kuwa kutokana na ukokotoaji wa wataalam wa idara ya elimu imeonyesha kuwa kila mwanafunzi anakula kilogram 25 za unga/mchele na maharage kilogram 10 kwa mwaka mzima  kitu ambacho wazazi wanaweza kumudu kuchangia iwapo watajinyima kununua vijora na mambo mengine yasiyokuwa na tija.


Mwenyekiti wa Kamati ya huduma za jamii ambaye pia ni diwani wa kata ya Mailimoja Mhe. Ramadhani Lutambi alisema umefika wakati muafaka kwa shule za Halmashauri ya Mji Kibaha kuanza utaratibu wa kuchangia chakula shuleni ili watoto wapate chakula kuinua kiwango cha elimu kwani si jambo geni maeneo mengine ikiwemo mikoa ya kaskazini huo utaratibu ni kawaida na wanafunzi wameonekana wakifanya vizuri kitaalumaDiwani wa Kata ya Kongowe Mhe. Hamisi Shomari aliwaomba wazazi wa Kongowe kuiga mfano wa shule ya Mwambisi ambayo miaka ya nyuma  ilikuwa na hali mbaya kitaaluma lakini baada ya kuanzishwa utaratibu wa wanafunzi kula chakula shuleni sasa imeimarika na kushika nafasi ya kwanza kimkoa mwaka 2020 na mwaka 2021 watoto wote wamefaulu kuingia kidato cha kwanza huku ikishika nafasi ya nne kimkoa.


Afisa Elimu Msingi Bernadina Kahabuka kwa niaba ya Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kibaha, alitoa rai kwa  wazazi kuupokea mpango huo na kuutekeleza kwani kwa kufanya hivyo kutaimarisha afya za watoto, kuongeza ufaulu na kuinyanyua halmashauri nzima kwenye ufaulu.


Halfa hiyo kando ya kamati ya ulinzi na usalama ilihudhuriwa na Wahe. Madiwani, Maafisa Elimu kata, Walimu wakuu wa shule zote za msingi, Wajumbe wa Serikali na Wananchi wengine

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa