• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC-KIBAHA AWEKA MIKAKATI KUONGEZA UFAULU,KUFUTA ZIRO.

Posted on: May 6th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha.

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mheshimiwa Nickson Simon amefanya ziara kukagua Maendeleo katika sekta ya Elimu kwenye shule ya Sekondari Mwambisi na kuweka mkakati kabambe wa kuongeza ufaulu na kufuta daraja sifuri.

Awali Mkuu wa shule hiyo Joseph Simba alieleza kuwa mpango wao wa ndani kuongeza ufaulu kufikia asilimia 50  kwa daraja A-C huku asilimia 50 nyingine ikifuta daraja sifuri na tayari utekelezaji umeanza.

Akiongea na walimu 49 kati ya 54 wa shule hiyo kwa niaba ya Walimu 820 wa Halmashauri ya Mji Kibaha,Mheshimiwa Simon amesema kazi ya ualimu ni mwanzo wa taaluma nyingine hivyo inabidi kutekelezwa kwa juhudi,maarifa,weledi na Upendo mkubwa hasa kwenye Mazingira haya ambayo baadhi ya wazazi wametekeleza majukumu yao.

"Wazazi hawanunui vitabu,hawawapangii watoto wao ratiba za kujisomea,wala hawaweki malengo ya kitaaluma kwa watoto wao,mzigo wote wameacha kwa walimu" amesema DC na kutoa rai kwa walimu kuongeza ubunifu ambao mara zote hauna mipaka.

Mheshimiwa Simon ametoa ushauri kwa walimu wote kuwa na ubao wataoorodhesha vipaumbele vya kitaaluma vinavyowasumbua na kila watakapokuwa watavitafutia ufumbuzi itakuwa na utekelezaji wa mkakati wa kuwaokoa wanafunzi na ziro.

Mkuu wa Wilaya ameahidi kutoa motisha ya Viwanja vya makazi kwa walimu wataofanya vizuri na kufikia malengo ya Kiwilaya.

Katika Mtihani wa kuhitimu kidato cha nne Mwaka 2022 kati ya wanafunzi 192 walifanya mtihani ni wanafunzi 17 pekee walifaulu kwa daraja la 1-3 huku wanafunzi 175 wakiambulia daraja 4 na sifuri hivyo kuifanya shule kuwa nafasi ya 19 kati ya 19 ya shule za Serikali Kibaha Mjini.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa