• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HAKUNA UKOSEFU WA VIFARANGA VYA KUKU NCHINI - NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA

Posted on: July 12th, 2022

Na Byarugaba Innocent,Kibaha


Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amefanya ziara ya kikazi Kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha kutembelea kampuni za Organia na Mkuza Chicks za Ufugaji Kuku na utotoleshaji wa Vifaranga vya Kuku wa Mayai na Nyama ili kuona Maendeleo ya  sekta hiyo.


Akiwasilisha taarifa ya kampuni ya Organia,Ofisa Mahusiano  Secky Ngwilizi amezitaja changamoto kuwa ni upatikanaji wa malighafi za utengenezaji wa Chakula kama Soya na Mahindi na hata yakipatikana bei ni kubwa toka kwa wakulima.


Ngwilizi aliongeza kuwa changamoto nyingine ni uingizaji wa Vifaranga kutoka nchi jirani kwa njia ya Magendo na kwamba kando ya kuhujumu uchumi wa wanaharibu Soko la Vifaranga vya hapa nchini kwa kuuza bei nafuu isiyoendana na gharama za uendeshaji


"Mheshimiwa Naibu Waziri,Kampuni yetu inafuata sheria zote za uwekezaji,inalipa Kodi,Vibali vyote vya uwekezaji vipo,watumishi 126 wameajiriwa na wanalipwa mishahara,haiwezekani Vifaranga vikauzwa bei sawa na kampuni zinazoingiza Vifaranga toka nje kwa njia za Magendo"


Aidha, Ngwilizi aliongeza kuwa Soko la Vifaranga halilidhishi na imekuwa changamoto ya muda mrefu akitolea uhalisia wa boksi 250 za Vifaranga vilivyozalishwa usiku wa kuamkia Julai 12,2022 wamekosa Soko na hakuna kwa kuwapeleka zaidi ya kuwasubiri wafe kifo cha Kawaida kutokana na kukosekana kwa wateja


Akitoa kauli ya Serikali Naibu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewaelekeza wataalam wa sekta ya Ufugaji wa Kuku kufanya kazi kwa kuzingatia sheria na kwamba Vibali vya uingizaji na uagizaji wa Vifaranga vitolewe pindi vinapokosekana nchini.


Aidha Ulega ametoa rai kwa wafugaji wote nchini takribani asilimia 60 ya kaya kuwasilisha changamoto za Vifaranga vinavyozalishwa nchini ili zitafutiwe utatuzi na kwamba kununua toka uje ni kukosa uzalendo na kuangamiza uchumi wa Taifa letu.


Kwa upande wake Meneja uendeshaji wa Kampuni ya Mkuza Chicks Bi.Florence Maximambali ametoa wito kwa Serikali kuweka mkakati mahsusi kuhakikisha wawekezaji wazawa wanalindwa kwani sekta ya Ufugaji wa Kuku inachangia uchumi wa nchi,kipato cha Kaya na kuimarisha afya ya walaji kwa kutoa protini lishe.


Naibu Ulega alitumia fursa hiyo kumpongeza Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kuhamasisha uwekezaji nchini na kwamba kazi yetu Watanzania ni kulinda uwekezaji uliopo kwani ni chanzo cha haraka cha ajira.


Ulega alifuatana na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Sara Msafiri, Mkurugenzi wa Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde pamoja na wataalam wa mifuko kutoka Wizarani,Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani na Halmashauri ya Mji Kibaha.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa