• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HALI YA LISHE HALMASHAURI YA MJI KIBAHA YAONESHA MAFANIKIO

Posted on: July 19th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha.

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Nickson Simon mapema leo ameongoza kikao cha tathmini ya Mkataba wa lishe ngazi ya Kata ambapo hali imeonesha kupanda kwa asilimia 20 kutoka 60 robo iliyopita mpaka 80 kwa robo ya nne ya Mwaka 2022/2023

Mtendaji wa Kata ya Sofu Saumu Nkulo ameeleza kuwa siri ya Mafanikio ni kufanya hamasa,kuandaa vikao vya Wazazi vyenye agenda ya lishe na ushirikishwaji wa wazazi kwenye kupanga mikakati ya lishe kwa watoto shuleni ili kuimarisha afya zao wakati wa masomo.

Aidha,mtendaji wa Kata ya Misugusugu Elizabeth Mwakaliku amekiri baadhi ya changamoto ya uhamasishaji lishe hivyo ameomba uwepo wa ushirikiano kati ya Watendaji,wazazi na wadau wengine wa Maendeleo ili kuweza kufikia malengo

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde ametoa rai kwa wazazi na walezi kushiriki kikamilifu kuchangia lishe kwa watoto wao ili kuimarisha afya za watoto na kufikia lengo la Serikali

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Nickson Simon ametoa rai Watendaji wa Kata kuongeza kasi ya  ufuatiliaji na wabunifu kwenye kutoa hamasa,kupanga vikao kulingana na uhitaji na kuwatumia wazazi wenye mwitikio wa kushiriki kuwa wazungumzaji kwenye vikao sambamba na kujifanyia tathmini kulingana na utekelezaji wao

"...msifanye vikao kwa kufuata ratiba,fanyeni vikao kulingana na uhitaji kwani suala hili tumesaini Mkataba na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan,tunapaswa kulitekeleza kwa Mafanikio makubwa "amesema Mhe.Simon

Mratibu wa lishe wa Halmashauri ya Mji Kibaha Salma Mohamed amewasihi Watendaji wa Kata kuongeza ya utekelezaji ili kuendelea kuboresha hali za lishe shuleni.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa