• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha yakamilisha Mradi wa Utambuzi wa Wananchi kupima, kupanga na kukabidhi Kwa Wananchi

Posted on: September 11th, 2025

 Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Yakamilisha Zoezi la Upimaji wa Viwanja Kata ya Viziwaziwa


Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imekamilisha rasmi kazi ya kuwatambua wananchi, kupanga maeneo, kupima viwanja na kukabidhi ramani za upimaji katika Kata ya Viziwaziwa.


Zoezi hilo limehitimishwa kwa mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Viziwaziwa Manispaa ya Kibaha.


Mgeni rasmi katika mkutano ni Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mhe. Nickson Simon, ambaye amewataka wananchi kutimiza wajibu wao kwa kulipia viwanja walivyopimiwa na Serikali ili waweze kupata hati miliki halali.

Ameongeza kuwa Serikali imekamilisha majukumu yake ya kupanga maeneo na kutatua changamoto mbalimbali za wananchi, hivyo ni jukumu la wananchi sasa kushiriki kwa kulipia viwanja hivyo kwa mujibu wa taratibu za kisheria.


Akizungumza katika mkutano huo, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, amesema kuwa jumla ya viwanja 761 vimepimwa kwa kuzingatia taratibu zote za kitaalamu na tayari ramani zake zimekamilika. Ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kulipia viwanja hivyo ili waweze kumilikishwa kihalali na kuepuka migogoro ya ardhi.


Aidha Kwa kuwaletea huduma karibu wataalamu wa Ardhi na fedha watakuwa wanatoa huduma hizo katika Ofisi ya Mtendaji Kata ya Viziwaziwa na kuwataka Wananchi kuchangamkia fursa ya kuletewa huduma karibu.


Wananchi wa Kata ya Viziwaziwa wameeleza furaha yao kwa hatua hiyo ya Serikali, wakimpongeza Mkuu wa Wilaya kwa juhudi zake katika kutatua changamoto za muda mrefu na kuleta utulivu katika jamii. Wamesema kuwa hatua hiyo imewafanya waishi kwa amani na kuwa na matumaini makubwa ya maendeleo na Serikali Kwa ujumla.


Matangazo

  • Tangazo la Kazi Halmashauri ya Manispaa Kibaha November 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Manispaa ya Kibaha yafungua shule mbili za mchepuo wa kiingereza

    January 12, 2026
  • Mhe Dkt Mawazo Ginhu Nicas achaguliwa kuwa Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha

    December 04, 2025
  • Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha ataka utendaji uliotukuka

    December 04, 2025
  • Dc Kibaha akabidhi gari jipya Divisheni ya ardhi na Mipango miji, awataka maafisa ardhi kutatua changamoto za wananchi,

    December 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mubashara Baraza la kwanza la Madiwani Manispaa ya Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa