• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA MJI KIBAHA YAKUSANYA MAPATO YA NDANI ASILIMIA 102

Posted on: August 31st, 2022

HALMASHAURI YA MJI KIBAHA YAKUSANYA MAPATO YA NDANI ASILIMIA 102


Na Byarugaba Innocent,Kibaha


Halmashauri ya Mji Kibaha imeweza kukusanya Mapato ya ndani kwenye vyanzo vyake kiasi cha shilingi 4,834,233,839 sawa na asilimia 102 ukilinganisha na shilingi 4,591,068,424 zilizokadiriwa kukusanywa katika Mwaka wa fedha 2021/2022 ikiwa ni ongezeko la shilingi 243,165,415.


Akiwasilisha taarifa ya Mapato na matumizi kwenye kikao cha baraza la Madiwani robo ya nne kilichoketi kilichoketi mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa halmashauri hiyo,Mheshimiwa Selina Msenga ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa halmashauri ameeleza kuwa kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 39,436,683,192 kutokana na Mapato yatokanayo na ruzuku,Mapato ya ndani pamoja na washiriki wengine wa maendeleo.


Aidha, Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mheshimiwa Mussa Ndomba amewapongeza Waheshimiwa Madiwani kwa ushirikiano wao na Wakuu wa idara na Vitengo kwenye suala muhimu la kukusanya Mapato na kufikia lengo walilojiwekea kwa kishindo pamoja na malengo ya Serikali inayoongozwa na Rais wa awamu ya Sita Mhe.Samia Suluhu Hassan.


"Waheshimiwa Madiwani wenzangu nawapongeza kwa kazi kubwa ya kusimamia ukusanyaji wa Mapato.Aidha,nawapongeza Sana Kitengo cha fedha kwa uratibu mzuri,kipekee nampongeza Mkurugenzi pamoja na timu yake ya Wakuu wa Idara na vitengo kwa kushiriki vema kwenye ukusanyaji wa Mapato.Hata hivyo kwa Mwaka wa fedha 2022/2023 Waheshimiwa Madiwani tutapanua wigo,hatutaangalia makusanyo pekee.Tutaangalia pia matumizi ya fedha zinazokusanywa"alisema Mhe.Ndomba.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amebanisha vyanzo vikuu vya Mapato ya ndani kuwa ni Kodi ya huduma ambayo imechangia shilingi 1,419,956,677,Mauzo ya Viwanja  shilingi 1,427,677,376,ushuru wa Stendi shilingi 601,058,300,leseni za biashara shilingi 314,020,262 na ushuru wa mchanga shilingi 219,321,000 na kwamba vyanzo hivyo ni sawa na asilimia 20 inayochangia asilimia 80 ya Mapato yote ya halmashauri.


Hata hivyo amebainisha kuwa lengo la Serikali ni kukusanya Mapato halali na kuziba mianya ya ufujaji  ili yatumike kutolea huduma kwa wananchi hivyo wamejipanga kutoa Elimu ya Kodi kwa wananchi ili kuwapa hamasa ya kutoa bila shuruti ikiwa ni pamoja na kuongeza nguvu kwenye vyanzo vingine ambavyo havifanyi vizuri kama vile kwenye Maeneo ya Vibali vya ujenzi,ushuru wa machinjio,ushuru wa Malazi na vyanzo vingine ili kuongeza Mapato yatakayotumika kuwaletea Maendeleo wananchi wenyewe.


Ikumbukwe kuwa Serikali yoyote duniani pamoja na Mapato mengine yatokanayo na rasilimali zake zilizomo,bado chanzo kingine huwa ni Kodi na tozo mbalimbali,hata hivyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameagiza kuwa tozo na ushuru mbalimbali wanazo tozwa Wananchi na wafanyabiashara zitozwe kisheria na zisiwe kero kwao zaidi ziwe rafiki.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa