• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA MJI KIBAHA YATUMIA BILIONI 8.1 KUTOA HUDUMA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23

Posted on: July 20th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha.

Jumla fedha kiasi cha shilingi 8,135,943,122.03 zimetumika kutoa huduma za maendeleo kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha kwa Mwaka wa fedha 2022/2023.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde ameeleza kuwa fedha hizo zipo katika makundi manne ambayo ni fedha kutoka Serikali kuu kiasi cha shilingi 1,969,958,103.91,fedha za nje zinazotoka kwa wahisani na wadau wa Maendeleo shilingi 2,506,280,585,fedha zilizopokelewa nje ya bajeti shilingi 2,217,688,000 na fedha za Mapato ya ndani ya Halmashauri shilingi 1,442,016,433.12

Aidha,Munde amesema fedha hizo zimetumika kununua samani, kujenga miundombinu na  kuboresha huduma za Elimu,afya,kutoa Mafunzo na kuimarisha afya za wananchi pamoja na kuimarisha vyanzo vya Mapato.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na Serikali yake kwa kuridhia fedha hizo zitumike kwa ajili ya wananchi na kwamba huo ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi 2020-2025.

Aidha,Ndomba amewashukuru washirika wa Maendeleo kwa kuchangia pamoja na Wananchi kuendelea kulipa Kodi zinazowezesha utoaji wa huduma kwenye Mji wa Kibaha.

Mhe.Ndomba ametoa rai kwa wataalam wa Halmashauri kutumia taaluma zao ili kutekeleza miradi ya Maendeleo kwa weledi na thamani fedha inayotumika iendane na thamani mradi husika.

"...Wananchi kazi yenu ni moja tu,miradi hii inayotumia gharama kubwa kuijenga,lindeni ili itumike muda mrefu na vizazi vijavyo..'amesema Ndomba.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi Halmashauri ya Manispaa Kibaha November 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Manispaa ya Kibaha wafanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo, waridhishwa.

    January 19, 2026
  • Dc Kibaha afungua mafunzo ya Madiwani yanayotolewa na Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo

    January 14, 2026
  • Manispaa ya Kibaha yafungua shule mbili za mchepuo wa kiingereza

    January 12, 2026
  • Mhe Dkt Mawazo Ginhu Nicas achaguliwa kuwa Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha

    December 04, 2025
  • Tazama Zote

Video

TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VILIVYOPIMWA MANISPAA YA KIBAHA
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa