• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri ya Mji Kibaha yavuka lengo la kaya sensa,2022

Posted on: August 31st, 2022

Na Byarugaba Innocent, Kibaha

Kando ya siku Saba za nyongeza zilizotangazwa na Kamisaa wa sensa ya watu na Makazi nchini Anna Semamba Makinda ili kuhitimisha zoezi hilo, halmashauri ya Mji Kibaha mpaka kufikia Agosti 29,2022 imevuka lengo la uandikishaji kwa kufikisha kaya 66,011 sawa na asilimia 146.12 dhidi ya kaya 45,176 zilizokadiriwa awali.

Halmashauri ya Mji Kibaha yenye jumla ya Kata 14 hakuna iliyohesabu kaya pungufu ya asilimia 100 huku kata kinara ikiwa ni Sofu iliyokadiriwa kaya 1064 na Sasa imefikisha kaya 1996 sawa na 187.59 asilimia na Kata ya Viziwaziwa yenye asilimia 107.25 ikihesabu  kaya 1583 kati ya 1476 zilizokadiriwa.

Mratibu wa sensa ya watu na Makazi wa halmashauri ya Mji Kibaha Wambura Yamo amesema hamasa kubwa na shirikishi iliyofanywa ya kuwahamasisha wananchi kushiriki Zoezi la Sensa ya watu na Makazi kuanzia ngazi ya Taifa mpaka kwenye Vitongoji, Vijiji na Mitaa imekuwa Chachu na kuleta ari na mwitikio na ushirikiano chanya kati ya wananchi na Makarani wa sensa hivyo tutegemee kupata idadi kubwa ya Watanzania itayoleta urahisi kwa Serikali kupanga Mipango bora ya utoaji huduma kwa faida ya nchi na wananchi wenyewe.

Wambura kipekee amempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kiongozi kinara wa uhamasishaji wa Watanzania kuhesabiwa kwani amekuwa akitoa ujumbe mfupi kila siku hali iliyowamotisha wananchi na kuitikia wito wa kuhesabiwa ili kuunga mkono juhudi za Serikali yao katika kupanga ama kuboresha huduma zote muhimu ikiwemo kiuchumi,Kijamii ,kidemographia na kiutamaduni.

"Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mheshimiwa Sara Msafiri na Kamati yake ya Usalama ameshiriki kikamilifu kwenye zoezi hili la Sensa tangu siku ya mwanzo mpaka leo bila kuchoka,ameonesha  mfano wa kuigwa kwa wananchi kwani kila palipotokea changamoto alifika kwa wakati kuitatua,anasitahili pongezi "amesema Wambura

Kwa upande wake Getruda Kalenzi amesema kutokana na hamasa kubwa iliyofanywa Mwaka huu alijawa na shauku ya kuhesabiwa.Amesema kuwa ingawa maswali yalikuwa mengi lakini yalikuwa mazuri kwani yalisheheni taarifa muhimu tena za Msingi zinazotakiwa kwenye upangaji wa Mipango ya maendeleo ya Taifa.

Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde mbali na kuwapongeza viongozi wa Kitaifa kwa maandalizi mazuri ya Sensa ya watu na Makazi 2022, amewashukuru viongozi wa dini wa madhehebu yote, Watendaji wa Kata mpaka Vitongoji na Mabalozi wa nyumba kumi kwa ushirikiano na uzalendo waliouonesha kufanikisha suala hili nyeti kwa Mipango ya Taifa na wananchi wake.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa