• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

JAMII YAASWA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI

Posted on: October 3rd, 2022


Na Byarugaba Innocent,Morogoro.


Wananchi wameaswa kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kutembelea vivutio vya Utalii hasa wa ndani ili kuzifahamu rasilimali zao pamoja na kuongeza Mapato ambayo yamekuwa yakitumika kutolea huduma kwa wananchi wenyewe nchini.

Hayo yameelezwa na Tatu Mwambala Mkuu wa shule ya Sekondari Zogowale ambaye ameambatana na walimu wake 30 kutembelea hifadhi ya Taifa Mikumi iliyopo Mkoa wa Morogoro kama sehemu ya kuwapa motisha walimu kwa kufanikisha ufaulu mzuri wa Mtihani wa Taifa wa kidato cha Sita,2022

Mwambala amesema kuwa kutembelea vivutio vya Utalii vilivyopo ni kuunga mkono juhudi za Rais wetu kwani pamoja na Majukumu mengi aliyonayo ya kuliongoza Taifa,bado alitenga muda wa kucheza filamu ya "Tanzania the royal tour"ambayo imefungua fursa zaidi za Utalii kwa mataifa mengine kwa kuonesha rasilimali nyingi zilizopo na Sasa watalii wameongezeka nchini tafauti na miaka ya nyuma

"Kama unavyojionea mwenyewe mwandishi,mimi nimekuja hapa kutalii mara nyingi,lakini tangu filamu ya mama imeoneshwa,Tanzania imefunguka zaidi,imepanua wigo wa wahudhuriaji na Sasa wanafika wengi,tazama umati huu"..amesema Mwambala

Kwa upande wake Makamu Mkuu wa shule hiyo Laurent Valentine Ntwale amesema ni wakati muafaka kwa walimu kutembelea vivutio vya Utalii hasa wakati wa likizo ili kuongeza Mapato ambayo yamekuwa yakitumika kuboresha na kuongeza miundombinu ya Elimu mathalan vyumba vya Madarasa ili kupunguza mlundikano wa wanafunzi darasani,Mabweni,nyumba za walimu,samani na kwamba maboresho haya huongeza juhudi na hamasa Ari ya kufundisha kwa walimu na kupelekea ufaulu wenye tija.

Calvin Mmari,Mwalimu wa taaluma shuleni hapo amesema kando ya kufanya ziara ya hiyo kwa lengo la kujifunza na kuwamotisha walimu amesema huo ni utaratibu ambao wamejipangia kama sehemu ya kuunga jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan za kuwafadhili wanafunzi wa kike wanaodahiliwa kusoma masomo ya Sayansi ili kuja kulitumikia Taifa

Hii ni mara ya tatu kwa walimu wa shule ya Sekondari Zogowale kufanya Utalii wa ndani.Awali Mwaka 2020 walikwenda hifadhi ya Saadani,Mwaka 2021 wakaenda Kaole Bagamoyo na 2022,wamefika hifadhi ya Mikumi.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa