• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Jeshi la zimamoto na Uokoaji laadhimisha siku ya kupunguza majanga Kwa kufanya shughuli mbalimbali

Posted on: October 13th, 2025

JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI PWANI WAADHIMISHA SIKU YA KUPUNGUZA MAJANGA DUNIANI


Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Pwani, kwa kushirikiana na Shirika la Msalaba Mwekundu, leo tarehe 13 Oktoba 2025, wameadhimisha Siku ya Kupunguza Majanga Duniani kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii.


Akizungumza katika tukio hilo, Kamanda wa Zimamoto mkoa wa Pwani, Jenifa Shirima, amesema kuwa wameamua kushirikiana na Shirika la Msalaba Mwekundu ili kutoa elimu na kufanya kazi za kijamii, kama njia ya kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kuchukua tahadhari na kupunguza athari za majanga.


“Kupitia maadhimisho haya, tunalenga kutoa funzo kwa jamii ili iweze kujifunza namna ya kujikinga na kuchukua hatua za mapema katika kupunguza majanga mbalimbali,” alisema Kamanda Shirima.


Aidha, mbali na kutoa elimu kwa wananchi, maadhimisho hayo yalihusisha shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo usafi wa mazingira, uchangiaji wa damu, pamoja na kugawa bidhaa kama sabuni, taulo za watoto na vifaa vya usafi kwa wahitaji.


Kwa upande wake, akizungumza kwa niaba ya Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kibaha, Bwana Amor Mohamed, ametoa shukrani kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kuwakumbuka na kuwatembelea, akisema hatua hiyo inaonesha moyo wa huruma na kujitolea kwa ajili ya jamii.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye Usajili wa waombaji nafasi ya muda usimamizi wa Uchaguzi Mkuu 2025 October 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Jeshi la zimamoto na Uokoaji laadhimisha siku ya kupunguza majanga Kwa kufanya shughuli mbalimbali

    October 13, 2025
  • TSH milioni 420 ya mapato ya ndani kutengeneza Barabara za mitaa, Wananchi wapongeza

    October 03, 2025
  • Rc pwani aitaka Taasisi ya Elimu ya watu wazima kuleta matokeo chanya Sasa.

    October 02, 2025
  • Wazee 160 Mtaa wa Uyaoni waadhimisha siku ya wazee Duniani Kwa kupima Afya zao

    October 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Matangazo Mubashara Hafla ya Utiaji Saini mikataba ya Soko la Mnarani na miundombinu ya Barabara
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa