• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KIBAHA MJI YAANZA MAADHINISHO YA KICHAA CHA MBWA KWA VITENDO

Posted on: September 28th, 2022


 Na Byarugaba Innocent,Kibaha


Katika kuadhimisha siku ya kichaa Cha Mbwa duniani  kila Septemba 28,Halmashauri ya Mji Kibaha leo Septemba 2022 imeanza  zoezi la kuchanja Mbwa na Paka  500 bure  kama sehemu ya kutoa Elimu pamoja na kuhamasisha Jamii Kuhusiana na Ugonjwa wa Kichaa Cha Mbwa.


Aidha,zoezi hili katika Mipango ya Halmashauri litahitimishwa tarehe 2 Oktoba,2022 ili kutoa fursa kwa wananchi wote kufanikisha uchanjaji kwa Mifugo hiyo kwenye vituo vya Kata za Kibaha , Mailimoja ,  Tumbi , Mkuza , Sofu  Pangani


Dkt.Deogratius Mgute ameeleza kuwa kwa Mwaka huu wa fedha Halmashauri inatarajia kununua dozi 100 zenye thamani ya Shilingi 1,500,000.00 za Mapato ya ndani zitakazowezesha kuchanja Mbwa na Paka 1000 ili kukabiliana na ugonjwa hatari wa kichaa cha Mbwa kando na 500 wanaogharamiwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi.


Aidha,Dkt Mgute ametoa rai kwa wananchi ambao hawatafikiwa na zoezi hili kwa Sasa kuhamasika kununua chanjo na Halmashauri itatoa wataalam wa kwenda kuwachanja ili kuepusha madhara ya kichaa cha Mbwa vikiwemo vifo.


Hata hivyo watalaam wa Afya wanasema pamoja na kuwa kichaa cha Mbwa Kinaua,bado kinaweza kuzuilika kwa kuwachanja Mbwa na Paka kila Mwaka,kuepuka kuwa katika Mazingira ya kung'atwa,kuosha jeraha kwa sabuni na Maji mengi yanayotiririka kwa dakika 15 na kutofunga kidonda kabla ya kwenda Kituo cha Afya kwa matibabu zaidi.


Takwimu za madhara makubwa zinaonesha kuwa kila dakika moja,mtu mmoja hufariki Dunia ambapo watu 59,000 Dunia hufariki kila Mwaka.Aidha,barani Afrika watu  21,476 hufariki kila Mwaka huku Tanzania watu 1500 wakipoteza maisha kila Mwaka kwa kichaa cha Mbwa


Halmashauri ya Mji Kibaha yenye Mitaa 73 na Kata 14 inakadiriwa kuwa na Mbwa 3114 na Paka 930.


Kauli mbiu ya siku ya Kichaa cha Mbwa Mwaka,2022 ni;Afya yako,bila kifo.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa