• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KIBAHA MJI YAPITISHA BAJETI RAFIKI KWA WANANCHI ,2023/2024

Posted on: February 22nd, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha.

Jumla ya bajeti ya Shilingi bilioni 48,655,452,236 imepitishwa na Baraza la Madiwani la Kibaha Mji lililoketi leo Jumatano 22,2023 kuridhia na kupitisha makadirio na Matumizi kwa Mwaka wa fedha 2023/2024 ikiwa na ongezeko la bilioni 2,845,940,730 ukilinganisha na bajeti ya Shilingi 45,809,511,506 ya Mwaka wa fedha 2022/2023.

Mhe.Kambi Legeza Diwani wa Kata ya Visiga aliyewasilisha bajeti hiyo kwa niaba ya Makamu Mwenyekiti Mhe.Selina Msenga amesema kati ya fedha hizo,Shilingi bilioni 6,563,628,000 ni Mapato ya ndani,Bilioni 41,161,858,000 ni ruzuku kutoka Serikali kuu na wafadhili mbalimbali huku Milioni 929,966,236 zikitoka kwenye vyanzo vingine ikiwemo Bima ya afya na Mchango wa Jamii.

Akifafanua matumizi ya fedha hizo Mhe.Legeza ameeleza kuwa jumla ya fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 31,094,816,000 itatumika kulipa mishahara ya watumishi,milioni 824,226,000 ikitumika kwa matumizi ya kawaida na Miradi ya Maendeleo ikitumia kiasi cha Bilioni 9,242,816,000

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba amesema kuwa bajeti ya Mwaka 2023/2024 imekuwa shirikishi kwani imeanza kuchakatwa kuanzia ngazi ya Mtaa na itatekeleza vipaumbele vya Wananchi ikiwemo Elimu,Afya,Maendeleo ya Jamii kwa kutoa Mikopo ya akina Mama,Vijana na wenye ulemavu.Aidha,ametoa rai kwa wananchi kutoa ushirikiano wakati wa utekelezaji ili kufikia malengo.

wenyekiti umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kibaha Mji Ramadhani Kazembe amewapongeza Waheshimiwa Madiwani kwa kazi nzuri wanayoendelea kujifanya na kwamba uzuri wa bajeti hiyo inakwenda kuitekeleza ilani cha CCM kwa vitendo.

Bajeti imepitishwa na Waheshimiwa Madiwani wote kwa asilimia mia moja.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi Halmashauri ya Manispaa Kibaha November 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Manispaa ya Kibaha wafanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo, waridhishwa.

    January 19, 2026
  • Dc Kibaha afungua mafunzo ya Madiwani yanayotolewa na Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo

    January 14, 2026
  • Manispaa ya Kibaha yafungua shule mbili za mchepuo wa kiingereza

    January 12, 2026
  • Mhe Dkt Mawazo Ginhu Nicas achaguliwa kuwa Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha

    December 04, 2025
  • Tazama Zote

Video

TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VILIVYOPIMWA MANISPAA YA KIBAHA
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa