• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kiwanda Cha Simenti chatoa Msaada wa Tsh milioni 36 Shule ya Msingi Misugusugu.

Posted on: July 25th, 2025


Kibaha, Julai 25, 2025 – Kiwanda cha XINGHAO GROUP COMPANY LTD ( LULU CEMENT) tarehe 25/07/2025 kimekabidhi madawati 200 yenye thamani ya shilingi milioni 33, pamoja na shilingi milioni 3 kwa ajili ya ununuzi wa fenicha za walimu katika Shule ya Msingi Misugusugu, iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha, mkoani Pwani msaada wenye thamani ya TSH milioni 36.

Msaada huo umetolewa kwa lengo la kutatua changamoto ya uhaba wa madawati na samani kwa walimu, ili kuimarisha mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji shuleni hapo.


Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano, Meneja wa kiwanda hicho, Bw. Wan Jianguo, amesema kuwa kiwanda hicho kmeanza shughuli zake katika eneo hilo mwaka jana, na walipofanya ziara shuleni hapo walibaini changamoto mbalimbali, ikiwemo uhaba  wa madawati licha ya serikali kuwa imejenga miundombinu bora.

“Tumeona ni wajibu wetu kama wawekezaji kushiriki kuboresha mazingira ya elimu kwa watoto wetu. Serikali imefanya kazi kubwa ya kujenga miundombinu, sasa sisi tunachangia kuiwezesha shule kuwa na vifaa vya msingi vya kujifunzia,” alisema Bw. Jianguo.


Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha, Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali na  Msingi, Mwl.Theresia Kyara, akipokea msaada huo amewashukuru wawekezaji wa Xinghao Group Company Ltd kwa moyo wa uzalendo na mchango wao katika maendeleo ya elimu.


“Msaada huu utakwenda moja kwa moja kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi na mazingira ya kufundishia kwa walimu wetu. Tunaahidi kuwa vifaa hivi vitatumika kikamilifu kama ilivyokusudiwa,” alisema Mwl. Kyara.


Aidha, aliipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira bora ya uwekezaji nchini, jambo ambalo limewezesha wawekezaji wengi kushiriki katika maendeleo ya jamii.


Kwa upande wao, baadhi ya wananchi wa eneo la Misugusugu walioshiriki hafla hiyo wamelwapongeza wawekezaji hao kwa msaada huo na kuahidi kushirikiana nao katika kuendelea kutatua changamoto nyingine zinazoikabili shule hiyo.


“Huu ni mfano mzuri wa ushirikiano kati ya wawekezaji na jamii. Tunaahidi kuwa walinzi wa miundombinu na vifaa hivi,” alisema mmoja wa wazazi waliokuwepo katika hafla hiyo.











Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO MWAKA -2050 July 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Azindua Rasmi Bandari kavu ya Kwala

    July 31, 2025
  • Matangazo ya mapokezi ya mabehewa mapya na yaliyokarabatiwa ya Mgr na ufunguzi wa Bandari kavu ya Kwala

    July 31, 2025
  • Rais Samia Kuzindua Usafirishaji wa mizigo Kwa SGR na Bandari ya KWALA Pwani.

    July 30, 2025
  • Kiwanda Cha Simenti chatoa Msaada wa Tsh milioni 36 Shule ya Msingi Misugusugu.

    July 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mansipaa ya Kibaha inakuletea television mtandao
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa