• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAONESHO YA NANENANE 2022 YATOA NEEMA KWENYE SEKTA ZA KILIMO, UFUGAJI

Posted on: August 9th, 2022

Na.Byarugaba Innocent, Morogoro


Jana Agosti 8,2022 Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Sera, Bunge na uratibu Mhe.George Simbachawene (MB) amehitimisha Maonesho ya 29 ya nanenane kanda ya Mashariki yaliyoanza Julai 31kwenye Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Mkoani Morogoro

Aidha, Maonesho kanda ya Mashariki inayohusisha Mikoa ya Dar-es-Salaam Pwani Morogoro na Tanga yalizinduliwa Agosti 4,2022 na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe.Mizengo Peter Pinda yakiwa na washiriki zaidi ya 400

Mheshimiwa Simbachawene amekiri kuridhishwa na maandalizi pamoja na maonesho yenyewe na kutumia fursa hiyo kuwapongeza waandaji kwa kushirikiana vema kufanikisha Maonesho hayo ambayo ni nyenzo muhimu kwa wadau wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa kubuni ujuzi na teknolojia mpya ili kuongeza uzalishaji,usindikaji kwa tija na Uhifadhi wa mazao.

Ameongeza kuwa Mchango mkubwa wa sekta hizi umekuwa ukionekana kwenye kuchangia Pato la Taifa,usalama wa Chakula na malighafi viwandani hivyo ametoa rai kwa wananchi kushiriki kuhesabiwa wakati wa sensa ya watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti 23,2022 nchini ili kuiwezesha Serikali kupanga Mipango Bora na endelevu kwenye sekta hizo za Kilimo,Mifugo na Uvuvi.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi,Naibu Waziri wa Kilimo Mhe.Anton Mavunde (MB) ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa Kilimo na kuongeza bajeti ya Wizara kutoka Bilioni 200 mpaka kufikia Bilioni 900 ambapo tayari fedha hizo mishapangiwa  Mipango thabiti na Wizara ili kuinua sekta hizi ikiwemo kununua vyombo vya usafiri mathalani Magari na Pikipiki zitakazotolewa kwa maafisa ugani nchini ili kuwafikia wakulima.Aidha,Ndege kwa ajili ya kunyunyizia dawa za kuua wadudu waharibifu mashambani itanunuliwa katika mipango iliyopo


Akihitimisha Maonesho ya 29 ya nanenane Kitaifa Kanda ya Nyanda za juu kusini yaliyofanyika Kwenye Viwanja vya John Mwakangale,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa wakulima wote kujisaji kwenye kanzidata maalum ili Serikali iwatambue

"Niombe wakulima wote nendeni kujisajili,mbele huko tutatoa vitambulisho kwa wakulima,kitambulisho chako kitakufanya ukapate huduma kadhaa ikiwa mkopo,ikiwa ruzuku,ikiwa mambo mengine ...sasa ukifanya uzembe kwenda kujisajili,utakapo kwenda kupata huduma huna kitambulisho hasara itakuwa kwako"alisema Rais Samia

Maonesho 29 ya nanenane Mwaka 2022 yamekuwa na Kauli mbiu isemayo; Agenda 10/30 Kilimo ni biashara;Shiriki kuhesabiwa kwa Mipango bora ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa