• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI WA MJI KIBAHA ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA NANENANE

Posted on: August 2nd, 2022

Na Byarugaba Innocent,Morogoro.

Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde ametembelea vipando pamoja na mabanda ya mifugo ikiwa ni maandalizi ya kuanza kwa sherehe za Maonesho ya  nanenane kanda ya mashariki yanayofanyika kwenye Viwanja vya Julius Nyerere Mkoani Morogoro kuanzia Julai 31,2022

Aidha, Mhandisi Munde ameridhishwa na maendeleo yaliyopo kwani maandalizi hayo yametangazwa kufanyika ndani ya kipindi kifupi.

Pamoja na Mambo mengine amewapongeza waandaji wote hususan Mkuu wa Idara ya Mifugo Joseph Njau na Mkuu wa Idara ya Mifugo Charles Marwa kwa kupambana mpaka kuwa na sura ya kushiriki na kushindana.Mkuu wa Idara ya Kilimo ameeleza changamoto zaaandalizi hayo kuwa ni kutokuwepo kwa maji muda mwingi hali inayosababisha kutofikia lengo na matarajio kwani maji yangekuwepo siku zote vipando vingekuwa katika hali bora zaidi.Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya Mifugo Charles Marwa ameeleza changamoto ya uchakavu wa jengo la halmashauri linalotumika  kuoneshea mazao na bidhaa nyingine kuwa kwa Sasa limepoteza hadhi hivyo linahitaji maboresho madogo.

Kutokana na mwonekano wa jengo lenyewe kupoteza ladha, Mhandisi Munde ameridhia kuboreshwa kwa kupaka rangi na kurekebisha mfumo wa umeme ambao ni hatari ukizingatia kwa Sasa watafika watu wengi hivyo inaweza kuhatarisha maisha yao.

Maonesho ya nanenane kanda ya mashariki hujumuisha halmashauri zinazotoka kwenye Mikoa ya Dar-es-Salaam,Pwani, Morogoro na Tanga.

Kauli mbiu ya Maonesho ya sherehe za nanenane Mwaka,2022 zina kauli mbiu isemayo;Agenda 10/30 Kilimo ni biashara;Shiriki kuhesabiwa kwa Mipango Bora ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi.

Matangazo

  • Walioteuliwa kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 October 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Manispaa ya Kibaha Yatoa Huduma za kiafya na kuhamasisha mazoezi Kwa Wananchi

    October 25, 2025
  • Vikundi vya Jogging Manispaa ya Kibaha vyakimbia mbio fupi na kufanya usafi lengo kuhamasisha Wananchi kushiriki kikamilifu Uchaguzi Mkuu, usafi wa mazingira

    October 18, 2025
  • Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kibaha mjini awahamasisha Wananchi kupiga kura.

    October 16, 2025
  • Heri ya siku ya Nyerere

    October 14, 2025
  • Tazama Zote

Video

Matangazo Mubashara Hafla ya Utiaji Saini mikataba ya Soko la Mnarani na miundombinu ya Barabara
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa