• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI ATOA MAAGIZO KWA TANESCO,DAWASA

Posted on: July 14th, 2022

NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI ATOA MAAGIZO KWA TANESCO,DAWASA


Na Byarugaba Innocent,Kibaha


Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ametoa maagizo kwa taasisi za TANESCO na DAWASA za kuhakikisha wanafikisha huduma zao kwenye machinjio ya Mji Kibaha mara moja ili kurahisisha uendeshaji wa mtambo wa uchinjaji.


Ulega akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Sara Msafiri, Mkurugenzi wa Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde na wataalam wa Wizara yake alipofanya ziara ya kikazi mwanzoni mwa wiki kukagua maendeleo ya sekta ya Uvuvi na Ufugaji kwenye Mkoa wa Pwani.


Evastus Mahuwi anayesimamia machinjio hayo amemweleza Naibu Waziri kuwa upatikanaji wa huduma ya Maji na nishati ya  umeme  hauridhishi hivyo kuathiri uchinjaji kwan mtambo huo unahitaji Maji mengi na nishati ya umeme kubwa ili kuendesha mtambo kuchinja na kuchakata kitoweo.


Mahuwi ameongeza kuwa ukosefu wa umeme umekuwa ni mzigo kwa Halmashauri kwani ili kupata kitoweo Safi hulazimika kununua Maji hali inayopelekea gharama za uendeshaji kuwa kubwa.


"Mhe.Naibu Waziri changamoto ya nishati ya umeme hapa ni kubwa,uliopo hapa hauendani na usanifu wa mtambo wetu hivyo mara nyingi tunatumia genereta hivyo tunaingia gharama nyingine ya kununua mafuta"


Mwenyekiti wa Rahma Foundation Abdulhimid Khan amesema kuwa uwepo wa Maji na nishati ya umeme ya uhakika machinjioni hapo inaweza kuwa fursa kwa makampuni mengine kuja kuwekeza viwanda vya kusindika nyama,soseji na kutengeneza vyakula vya Mifugo kwa kutumia malighafi za wanyama wanaochinjwa na kwamba hiyo itaongeza mnyororo wa thamani kwa wafugaji na kipato zaidi kwa Halmashauri.


Ulega ametoa maelekezo kwa niaba ya Serikali kwa TANESCO na DAWASA kufikisha huduma hizo ili kurahisisha uendeshaji kwani ni chanzo cha mapato ya Serikali yanayotukika kuhudumia wananchi


Mhandisi Godfrey Nathani aliyemwakilisha Meneja wa TANESCO amesema tayari bajeti ya kuunganisha kilovoti 33 kwenye transforma iliyopo machinjioni imeanza kutumika na suvei imeshafanyika hivyo wakati wowote tatizo litakoma.


Kwa upande wake Meneja wa matengenezo DAWASA Mhandisi Charles Kimario amesema mkakati walionao ni kujenga tenki kubwa la kuhifadhia Maji lenye ujazo la lita milioni 6 kwenye bajeti ya 2022/2023 litakalotumika kwenye kata ya Pangani ikiwemo machinjioni.


Mhandisi Mshamu Munde ambaye ndiye msimamizi wa shughuli za Maendeleo kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha amemhakikishia Naibu Waziri kuwa ataendelea kufuatilia kwa karibu kwa taasisi hizo wezeshi ili huduma hizo zipatikane kwa wakati.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa