• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Nimestaafu, lakini sijachoka nalipwa mshahara na Ng'ombe wa maziwa

Posted on: August 3rd, 2025


Kibaha, Pwani – Lina Joseph Kinabo, mfugaji mwenye umri wa miaka 67 kutoka Kata ya Tumbi, Manispaa ya Kibaha, ni miongoni mwa wafugaji waliothibitisha kuwa ufugaji wa ng’ombe wa maziwa wa ndani unaweza kuwa chanzo kikubwa cha kipato na maendeleo ya kiuchumi.


Kwa sasa, Bi Kinabo anamiliki ng’ombe 28 wa maziwa, na ng'ombe mmoja ana  kilo 800.Kupitia jitihada zake na matumizi ya maarifa ya kisasa katika ufugaji, amefanikiwa kujipatia mshahara wa kila mwezi wa shilingi 200,000, huku biashara yake ya maziwa ikimpatia faida ya kati ya shilingi milioni 2 hadi 3 kwa mwezi.


Mbali na kipato hicho, Bi Kinabo pia huwaajiri vibarua wa kudumu na wa muda, na amekuwa chachu ya maendeleo katika jamii yake, akiwasaidia vijana na wanawake kujifunza mbinu bora za ufugaji.


Kutokana na mafanikio yake, Bi Kinabo amekuwa mfugaji wa mfano katika maonyesho ya kilimo ya Nanenane, ambako hualikwa kutoa mafunzo kwa wafugaji wengine kuhusu namna ya kuboresha uzalishaji wa maziwa, afya ya mifugo, na uendeshaji wa ufugaji kama biashara endelevu.


“Ufugaji si kazi ya kubahatisha. Ukiweka juhudi na maarifa, unaweza kuishi maisha ya heshima. Ng’ombe wamenibadilishia maisha – na sasa nawatia moyo wenzangu, hasa vijana, kuingia kwenye sekta hii yenye tija,” alisema Bi Kinabo.


ameishukuru serikali Kwa kumpa mafunzo yanayomsaidia kuboresha maisha yake, na kutoa wito Kwa Jamii kujikita kuwekeza katika mifugo wa kuwa inalipa na inakufanya upate Afya Bora na kipato.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye Usajili wa waombaji nafasi ya muda usimamizi wa Uchaguzi Mkuu 2025 October 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Heri ya siku ya Nyerere

    October 14, 2025
  • Jeshi la zimamoto na Uokoaji laadhimisha siku ya kupunguza majanga Kwa kufanya shughuli mbalimbali

    October 13, 2025
  • TSH milioni 420 ya mapato ya ndani kutengeneza Barabara za mitaa, Wananchi wapongeza

    October 03, 2025
  • Rc pwani aitaka Taasisi ya Elimu ya watu wazima kuleta matokeo chanya Sasa.

    October 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Matangazo Mubashara Hafla ya Utiaji Saini mikataba ya Soko la Mnarani na miundombinu ya Barabara
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa