• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SALMA KIKWETE:NJOONI LINDI KUJIFUNZA NAMNA YA KUPAMBANA NA VVU

Posted on: September 30th, 2022


Na Byarugaba Innocent,Lindi


Mke wa Rais wa awamu ya nne na Mbunge wa Jimbo la Mchinga,Mhe. Salma Kikwete ametoa rai kwa Kamati za kudhibiti VVU/UKIMWI nchini kufika Manispaa ya Lindi Kujifunza ili kuweza kukabiliana kwenye Maeneo yao.

Akitoa salaam kwa niaba ya wabunge wa Mkoa wa Lindi na Baraza la Madiwani wa Manispaa hiyo kwa Kamati ya kudhibiti kutoka Halmashauri ya Mji Kibaha kwenye kikao kifupi kilichofanyika kwenye Ofisi ya Meya wa Manispaa hiyo amesema amefurahishwa na Kamati ya Kudhibiti UKIMWI toka Kibaha Mji yenye kiwango cha Maambuzi asilimia 5.5 kufika Manispaa ya Lindi kujifunza kuwa ni sehemu sahihi kwani Wana maambukizi kidogo nchini kiwango cha 0.3 asilimia ukilinganisha na takwimu za Kitaifa kiwango cha 4.7 na kwamba iwapo kamati zote zitaongeza Kasi kwenye jambo hili uwezo wa kufikia asilimia sifuri upo.

Awali Mwenyekiti wa kamati ya kudhibiti UKIMWI kutoka Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Selina Msenga ameeleza kuwa takwimu za Kitaifa za hali ndogo ya Maambuzi ya VVU za Manispaa ya Lindi ndio kichocheo cha kwenda kwani pamoja na kuwa Mikoa yote miwili ipo kwenye ukanda wenye Mazingira yanayoshabihiana kwa kiasi kikubwa lakini Kibaha maambukizi yapo juu hivyo wamefika kupat a Uzoefu na maarifa mapya ya namna ya kukabiliana nayo.

Mratibu wa UKIMWI Manispaa ya Lindi yenye kata 32 na wakazi 278,800 Dkt.Zulfa Msumi amesema kuwa mafanikio yao yametokana na ushirikiano wa Halmashauri na watu waishio na VVU kwa kuhakikisha KONGA  inakuwa hai na kusaidia  jamii katika uhamasishaji wa kupima VVU ili kufahamu hali za maambukizi

Aidha,ameongeza kuwa kati ya vituo vya afya 49 vya kutolea huduma za afya,27 vinatoa huduma za matunzo kwa wenye VVU (CTC) na vituo 40 vinatoa huduma ya kupunguza maambukizi kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto (PMTCT) kwa kushirikiana na USAID AFYA YANGU na CSSC/Amref ambao ni wafadhili

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba ameipongeza Manispaa ya Lindi kwa ushirikiano uliopo kati ya Wabunge,Wahe.Madiwani,Menejimenti,watumishi na wananchi wote na kwamba mafanikio wanayopata kwenye kupunguza maambukizi ya VVU ni matunda yake yanayotafutwa na wengine kwenda kujifunza kwao

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amewapongeza Manispaa ya Lindi hasa kwa kujiongeza kutafuta wadau wa kuchagiza Kasi ya mapambano hivyo ametumia fursa hiyo kutoa rai kwa Kamati ya kudhibiti UKIMWI ya Kibaha kutafakari nje ya boksi na kujiongeza na kuongeza ubunifu wa  kutafuta wadau watakaosaidia kwani kutegemea bajeti ya Halmashauri pekee haitoshelezi

Takwimu za maambukizi ya VVU nchini Tanzania zinaonesha kuwa Mkoa unaoongoza kwa maambukizi makubwa ni Njombe wenye asilimia 11.4 huku Mkoa wa Lindi ukiwa na maambukizi kidogo ya asilimia 0.3

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa