• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SEPTEMBA 30,2023 KIBAHA KUKABIDHIWA SOKO LA BILIONI 8

Posted on: September 19th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Septemba 30,2023 Halmashauri ya Mji Kibaha itakabidhiwa mradi mkubwa wa Soko la kisasa kutoka kwa Mkandarasi Kampuni ya  Elerai lililosanifiwa kujengwa kwa shilingi za Kitanzania 8,000,000,000.00 ambapo Mkataba wa awali ulikuwa shilingi 7,298,549,844, kazi za nyongeza shilingi 204,873,960 na ongezeko la Kodi ya thamani (VAT) shilingi 496,576,196

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Protas Dibogo  ameileza kamati ya Siasa Wilaya iliyopita kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025  kuwa mradi unasimamiwa na Mhandisi mshauri  M/S Luptan Consult na Consultancy Ltd kwa gharama ya Shilingi 352,407,000.00 pamoja na VAT  Shilingi 294,410,000,kutoka kwa wafadhili UN-CDF na shilingi 57,997,000 ikiwa ni mapato ya ndani hivyo kufanya jumla ya Shilingi 8,352,407,000

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi  Wilaya ya  Kibaha  Mwajuma Nyamka  amemshukuru Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa na kwamba Ilani imetekelezwa vema

Mhandisi ya Halmashauri ya Mji Kibaha Brighton Kisheo amesema kazi zilizobaki ni umaliziaji wa Kawaida ikiwemo kufunga miundombinu ya Maji,umeme na taka ambapo anaamini zitaisha kwa wakati

Katibu tawala Wilaya ya Kibaha Moses Magogwa ametumia fursa hiyo kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kujenga soko la Kisasa Kibaha ambalo chanzo muhimu cha Mapato na ajira mpya kwa wananchi

..."taarifa za usanifu zinaonesha kutakuwa na ajira mpya 253 na Wananchi zaidi ya 2000 watapata huduma kwa siku na Halmashauri ikitegemea kupata Mapato  takribani 450,000,000 milioni "..

Natoa rai kwa wataalam kuhakikisha ifikapo Septemba 30,2023 kando ya kukabidhiwa,utaratibu wa kuwapata wafanyabiashara uanze

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa