• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YA SAMIA YAJENGA SHULE ZA SEKONDARI MBILI MPYA-KIBAHA.

Posted on: September 20th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha.

Jumla ya Shilingi 1,093,998,425 zimeidhinishwa na Dkt.Samia Suluhu Hassan kujenga shule mbili mpya  za Sekondari kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha kupitia mradi wa SEQUIP ndani ya Mwaka wa fedha  2021/2022 ili kuwapunguzia mwendo wa takribani kilometa 18 waliotembea wanafunzi kusaka Elimu

Shule hizo mpya ni Viziwaziwa iliyotumia kiasi cha Milioni 565,000,000 ikihusisha nyumba za walimu na Shule ya Mbwate itakayotumia milioni 528,000,000 mpaka kukamilika kwake.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba ameendelea na utaratibu wake wa kuitembelea miradi ya Maendeleo ambapo ameridhishwa na hatua ya ujenzi wa shule ya Mbwate kwani majengo yote yapo hatua nzuri yakiwa na ubora unaoendana na thamani ya fedha.

"Kuweni na vipaumbele ili shule ifunguliwe kwa kujenga miundombinu ya Msingi ili watoto waingie kusoma waachane na kutembea umbali mrefu.Hiyo ndio azma ya Rais Samia". .amesema Ndomba

Kaimu Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Godfrey Mwaduma ameeleza kuwa jumla ya vyumba vya madarasa 16,Maabara 6,Maktaba 2,Majengo ya Utawala 2 pamoja na miundombinu ya Vyoo na Maji inatosheleza kuanza kwa masomo kwenye shule hizo

Rosemary Msasi,Afisa Elimu Sekondari wa Kibaha Mji amesema Mhe.Samia Suluhu Hassan ametimiza ndoto yake ya kuwasaidia wanafunzi kwani shule hizo zitapunguza umbali wa kutembea kwa kilometa 18 kwa wanafunzi wa Mbwate kwenda Shule ya Miembesaba,kupunguza Msongamano kwenye shule kongwe ya Nyumbu,Kuongeza ufaulu pamoja kupunguza tatizo la mdondoko wa masomo na Mimba zisizo tarajiwa.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye Usajili wa waombaji nafasi ya muda usimamizi wa Uchaguzi Mkuu 2025 October 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Heri ya siku ya Nyerere

    October 14, 2025
  • Jeshi la zimamoto na Uokoaji laadhimisha siku ya kupunguza majanga Kwa kufanya shughuli mbalimbali

    October 13, 2025
  • TSH milioni 420 ya mapato ya ndani kutengeneza Barabara za mitaa, Wananchi wapongeza

    October 03, 2025
  • Rc pwani aitaka Taasisi ya Elimu ya watu wazima kuleta matokeo chanya Sasa.

    October 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Matangazo Mubashara Hafla ya Utiaji Saini mikataba ya Soko la Mnarani na miundombinu ya Barabara
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa