• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YAKAMILISHA ZAHANATI YA MTAA SAENI KWA 181.5 MILIONI

Posted on: August 16th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Jumla ya milioni 181.5 zilizoidhinishwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan zimekamilisha ujenzi wa Zahanati ya kisasa itakayowahudumia zaidi ya Wananchi 14,326 wa Mitaa ya Saeni,Jonung'a,Zogowale na Misugusugu Halmashauri ya Mji Kibaha.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Protas Dibogo  ameeleza kuwa fedha hiyo inahusisha shilingi 75,000,000.00 kutoka Mapato ya ndani ya Halmashauri,Milioni 100,000,000.00 Serikali huku milioni 6,500,000.00 zikitolewa na Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini Mhe.Silvestry Koka kupitia Mfuko wa Jimbo.

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dr.Peter Nsanya amesema kuwa jumla ya Chupa 12 za damu zimetolewa na Wananchi 12 walioshiriki kwenye Sherehe za ufunguzi wa Zahanati hiyo kati wananchi 265 waliopata huduma zikiwemo za saratani ya shingo ya mlango wa kizazi,tezi dume,ushauri nasaha na mpangilio mzuri wa ulaji ili kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambuliza kama shinikizo la damu.

Akizindua Zahanati hiyo Mhe.Silyvestry Koka amesema hayo ni mafanikio makubwa ya uongozi wa Dkt.Samia Suluhu Hassan ni kuwapa wananchi Maendeleo ikiwemo sekta ya Afya,Elimu,Miundombinu,Maji na mengineyo ili kuwaweka karibu na Serikali yao.

Aidha,amesema kuwa ushirikiano mkubwa anaopata kutoka kwa baraza la Madiwani na Wananchi wa Kata ya Misugusugu imekuwa ikimpa nguvu ya kuendelea kupambana kuwaletea Maendeleo kwani huo ni utelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi 2020-2025

Mhe.Koka ametumia fursa hiyo kuwaeleza wananchi kuwa propaganda zinazoendelea za kumdhoofisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia kuwa ameuza Ardhi na Bandari kwa DP-World wazipuuze na kamwe Serikali haiwezi kufanya hivyo.

..."Bandari kwa miaka 20 ilikuwa ikiendeshwa na TICKS,haikufanya vizuri Sasa Serikali inataka kumpa mwekezaji atakayeiendesha kwa tija.Je,Hilo ni jambo baya?"..... aliwauliza wananchi ambao walijibu  hapanaaa kwa vigelegele ,shangwe na nderemo

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha amemshukuru Mhe.Koka kwa namna alivyopambana Zahanati na miradi mingine inakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma kwa wananchi wa Jimbo la Kibaha Mjini.

Ametoa rai kwa wananchi wote kuendelea kumuunga mkono ili akamilishe ahadi zote alizoahidi wakati akiomba kura.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Kibaha Mjini Mwajuma Nyamka amewaomba wananchi kuendelea kushikamana na Kuiamini CCM kwani imeendelea kuwaletea Maendeleo.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa