• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YATOA MABILIONI KUIMAIRISHA MIUNDOMBINU YA ELIMU MSINGI- KIBAHA

Posted on: July 18th, 2022

Na Byarugaba Innocent, Kibaha


Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeiwezesha halmashauri ya Mji Kibaha kuendelea na jitihada za kujenga na kuboresha miundombinu ya utoaji wa elimu kwenye shule za Msingi baada ya kuidhinisha shilingi 813,537,908.


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amemshukuru Mhe.Samia Suhuhu Hassan kwa kuidhinisha kiwango hicho cha fedha ili kitumike kuboresha miundombinu ya shule za Msingi huku akitoa wito kwa wadau wote kuilinda ili idumu kwa muda mrefu.


Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Ofisa Elimu Msingi Bernadina Kahabuka,imetaja miundombinu inayojengwa kuwa ni vyumba vya madarasa,ukarabati wa vyumba vilivyochakaa,ujenzi wa nyumba za walimu,ununuzi wa madawati na ukarabati wa madawati chakavu, ujenzi wa matundu ya vyoo,ujenzi wa gata za kuvunia Maji na uchimbaji wa kisima. (3).jpeg


Kahabuka ameongeza kuwa kiasi cha milioni 310,000,000 kimetoka kwenye Mapato ya ndani ya halmashauri, Serikali kuu imetoa milioni 51,250,000 huku mpango wa kukabiliana na UVIKO-19 kwa fedha iliyokopwa IMF kwa masharti nafuu ukichangia milioni 108,882,379.


Aidha,wadau wa Maji RUWASA,wamechangia milioni 15,000,000 kwa ajili ya Ujenzi wa choo kata ya Pangani huku mpango wa kulipa kulingana na Matokeo (EP4R) ukichangia milioni 328,405,529.


Mwalimu Mkuu msaidizi wa shule ya Msingi Tumbi Saimon Minja ameeleza kuwa uimarishaji na Uboreshaji wa miundombinu umekuwa wa tija shuleni hapo kwani umechochea mahudhurio ya wanafunzi, Wazazi wameongeza Kasi ya uandikishaji kutokana na Mazingira ya shule kuwa ya kuvutia.


Halmashauri ya Mji Kibaha jumla ya shule za Msingi 44.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • MKUU WA MKOA WA PWANI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA KWA KUVUKA MALENGO KWENYE UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 16, 2025
  • MWENYEKITI (UWT) ,MARY CHATANDA ARIDHISHWA NA UJENZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA

    June 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa