• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Stendi Kuu Mpya Kibaha Kuanza Kutumika Jumatatu

Posted on: September 28th, 2018

STENDI KUU MPYA KIBAHA KUANZA KUTUMIKA RASMI TAREHE 01/10/2018.

Mkurugenzi wa Mji Kibaha bi. Jenifa Omolo amesema kuwa kituo kipya cha mabasi yaendayo mikoani kitaanza rasmi kutumika Jumatatu tarehe 01/10/2018 kwani ujenzi wake umekamilika. Stendi hii pamoja na jengo la utawala vimegharimu zaidi ya Tsh.billion 3.3 huku ikiwa na uwezo wa kuingiza mabasi makubwa 24, Mabasi ya kati 48 huku magari mengine 60 na tax yakiegeshwa kwa wakati mmoja. Aidha, Miundombinu mingine iliyopo ni kituo cha polisi, vyoo, Kizimba cha taka, sehemu ya kupumzikia wasafiri, Mghahawa, Taa za usiku huku kituo kikizungushiwa uzio maridadi uliopambwa kwa bustani inayovutia. Mustapha Issa (muwakilishi wa mawakala wa Mabasi makubwa yaendayo Mkoani) amekiri kufurahishwa na ujenzi huo huku akimpongeza Mkurugenzi kwa kutatua kero ya muda mrefu ya stendi inayotumika sasa kuwa ni finyu na hujaa tope wakati wa mvua.



Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO MWAKA -2050 July 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Rais Samia Kuzindua Usafirishaji wa mizigo Kwa SGR na Bandari ya KWALA Pwani.

    July 30, 2025
  • Kiwanda Cha Simenti chatoa Msaada wa Tsh milioni 36 Shule ya Msingi Misugusugu.

    July 25, 2025
  • Rais DKT SAMIA SULUHU HASSAN kuzindua Bandari kavu ya kwala na miradi ya miundombinu Pwani.

    July 22, 2025
  • Timu ya ukusanyaji mapato na Wakuu wa Divisheni na Vitengo,wilaya ya Bagamoyo imefanya ziara ya kujifunza ukusanyaji mapato Manispaa ya Kibaha

    July 21, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mansipaa ya Kibaha inakuletea television mtandao
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa