• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Timu ya ukusanyaji mapato na Wakuu wa Divisheni na Vitengo,wilaya ya Bagamoyo imefanya ziara ya kujifunza ukusanyaji mapato Manispaa ya Kibaha

Posted on: July 21st, 2025

Bagamoyo, Tanzania – Timu ya ukusanyaji mapato ikiongozwa na Wakuu wa Divisheni na Vitengo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo tarehe 21/07/2025 imefanya ziara ya kikazi ya siku moja katika Manispaa ya Kibaha kwa lengo la kujifunza mbinu bora za ukusanyaji wa mapato.


Ziara hiyo imelenga kubadilishana uzoefu na mawazo kuhusu namna bora ya kuongeza tija katika ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri, kwa madhumuni ya kuboresha mifumo ya mapato na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.


Akizungumza wakati wa utambulisho, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Bw. Shauri Selenda, amesema kuwa ziara hiyo inalenga kujifunza na kupata uzoefu kuhusu mikakati na mbinu zinazotumika katika Manispaa ya Kibaha ambazo zimekuwa na mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato.


“Tumeamua kuja kujifunza hapa Kibaha kwa sababu Manispaa hii imekuwa mfano wa kuigwa katika ukusanyaji wa mapato. Tunataka mbinu hizi nzuri zisaidie pia katika kuboresha ukusanyaji wetu Bagamoyo,” alisema Bw. Selenda.


Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Kibaha Dkt Rogers shemwelekwa amesema Manispaa hiyo imejipambanua kama chuo cha utoaji wa elimu bora ya ukusanyaji wa mapato, na kupongeza Halmashauri ya Bagamoyo kwa hatua hiyo ya kujifunza kutoka kwa wengine.


“Manispaa ya Kibaha ni mahali pa kujifunza. Tuko tayari kuendelea kushirikiana na Halmashauri nyingine ili tuweze kuinua kiwango cha ukusanyaji wa mapato nchini,” alisema Mkurugenzi huyo.


Ziara hiyo ni sehemu ya juhudi za Serikali katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato kwa Halmashauri zote nchini, kwa lengo la kufanikisha maendeleo endelevu na utoaji bora wa huduma kwa wananchi.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye Usajili wa waombaji nafasi ya muda usimamizi wa Uchaguzi Mkuu 2025 October 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Heri ya siku ya Nyerere

    October 14, 2025
  • Jeshi la zimamoto na Uokoaji laadhimisha siku ya kupunguza majanga Kwa kufanya shughuli mbalimbali

    October 13, 2025
  • TSH milioni 420 ya mapato ya ndani kutengeneza Barabara za mitaa, Wananchi wapongeza

    October 03, 2025
  • Rc pwani aitaka Taasisi ya Elimu ya watu wazima kuleta matokeo chanya Sasa.

    October 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Matangazo Mubashara Hafla ya Utiaji Saini mikataba ya Soko la Mnarani na miundombinu ya Barabara
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa