• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ujenzi wa Soko la Kisasa La Halmashauri ya Mji Kibaha lafikia 95%

Posted on: June 14th, 2022

 

UJENZI WA SOKO LA BILIONI 8 KIBAHA WAFIKIA ASILIMIA 95

Na. Innocent Byarugaba

Ujenzi wa Soko la Kisasa la halmashauri ya Mji Kibaha umefikia  asilimia 95 ya utekelezaji wake ambapo kazi zinazoendelea ni umaliziaji. Soko hili linajengwa na Mkandarasi Elerai Construction CO. Ltd kwa Gharama za shilingi 7,298,549,844 pamoja na kodi ya ongezeko la thamani  kwa kutumia fedha za Serikali Kuu.

Aidha, linasimamiwa na Mhandisi   Mshauri   M/S Luptan Consult and Mhandisi Consultancy ltd kwa gharama ya shilingi 294,410,000 kwa kutumia fedha za UNCDF hivyo kufanya gharama za Mradi kuwa jumla ya shilingi 7,592,959,844

Mradi huu wa soko ulianza kutekelezwa kuanzia tarehe 1/3/2019 na unategemea kukamilika muda wowote kuanzia sasa.

 

Mhandisi wa Halmashauri ya Mji Kibaha John Alexander amesema kuwa Soko hili kubwa la Kisasa litakuwa na huduma za Kibenki 2, ATM 12, Maduka 63 ya ukubwa mbalimbali kuanzia mita za Mraba 12 hadi 63, Ofisi za Utawala, Matundu 35 ya vyoo, Super Market 1, Mgahawa 1, Chumba cha huduma za akina mama na kizimba cha kukusanyia taka.          

Mhandisi Alexander ameongeza kuwa eneo la chini (Basement) litakuwa na maduka/vizimba kwa ajili ya mabucha ya nyama na samaki pamoja na Soko la jumla la vyakula kama Ndizi, Viazi, Matunda na Nafaka

Aidha, kutakuwa na sehemu ya maegesho ya magari madogo 150 na makubwa15, Matanki ya kuhifadhia maji yenye ujazo wa Lita 110,000 na vyumba vitatu vya walinzi. Aidha kwa ajili ya kurahisisha kuingia na kutoka kutakuwa na mageti matatu.

Akielezea maendeleo ya mradi wa soko zima, afisa Mipango, takwimu na ufuatiliaji wa Halmashauri ya Mji Kibaha Wambura Yamo amesema  kwa ujumla hali ya utekelezaji wa Mradi hadi sasa imefikia asilimia 95 ambapo kazi zinazoendelea ni umaliziaji wa jengo na kwamba mkandarasi atakabidhi muda wowote.

Wambura ameongeza kuwa Soko litatoa ajira kwa Wafanyabiashara 253, Aidha zaidi ya wananchi 2000 watapata huduma katika Soko hili huku Halmashauri inategemea kukusanya Mapato kiasi cha shilingi 281,424,000.00 kwa mwaka kutoka katika Soko hili hivyo kuongeza wigo wa Mapato ambayo yatatumika kuboresha huduma za Kijamii na kiuchumi kwa Wananchi wa Mji wa Kibaha ikiwa ni pamoja na kutoa Mikopo kwa makundi ya Watu wenye ulemavu, Wanawake na Vijana.

Mkurugenzi wa Halmashauri Mhandisi Mshamu Munde amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu wa kujenga Soko hili la Kisasa na kuridhia Kiasi cha 8,000,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wake Aidha, hiki kitakuwa chanzo kizuri na endelevu cha mapato cha Mapato ya Halmashauri ya Mji Kibaha na kukuza uchumi wa Mkoa wa Pwani na Tanzania kwa ujumla.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa