• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Vikundi vya Jogging Manispaa ya Kibaha vyakimbia mbio fupi na kufanya usafi lengo kuhamasisha Wananchi kushiriki kikamilifu Uchaguzi Mkuu, usafi wa mazingira

Posted on: October 18th, 2025

HABARI: Vikundi vya Jogging Kibaha Vyafanya Mazoezi, Usafi na Uhamasishaji wa Uchaguzi Mkuu


Manispaa ya Kibaha, 18 Oktoba 2025 – Vikundi mbalimbali vya jogging katika Manispaa ya Kibaha leo vimefanya zoezi la mbio fupi pamoja na usafi katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kuhamasisha wananchi kufanya mazoezi ya mwili, kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira, na kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29.10.2025


Zoezi hilo lilianza saa 12 asubuhi katika eneo la Stand ya Maili Moja, kupitia Ofisi za NIDA, hadi Soko la Mnarani Loliondo, ambapo washiriki wamefanya usafi katika eneo la Mto Loliondo mara baada ya kumaliza mbio fupi.


Lengo kuu la zoezi hilo ni kuhamasisha wananchi kuzingatia afya kwa kufanya mazoezi ya mara kwa mara ili kuweka miili yao katika hali ya utimilifu, kushiriki shughuli za usafi wa mazingira kwa ajili ya kujikinga na magonjwa, pamoja na kuchangia damu katika vituo mbalimbali vya afya.


Vilevile, ni sehemu ya kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu zoezi la uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 29 Oktoba 2025 kwa kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga kura.


Akizungumza katika tukio hilo, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kibaha Dkt Catherine Saguti amewapongeza washiriki wote kwa kujitoa kwao na uzalendo waliouonesha


.Amewataka wananchi waendelee kuwa mabalozi wa usafi wa mazingira na afya, pamoja na kushiriki kikamilifu uchaguzi Mkuu kwa kuwahamasisha wengine kujitokeza kupiga kura.


Aidha ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya Afya   uliofanyika na Wananchi wa Manispaa ya Kibaha wananufaika na uwekezaji huu Kwa kupata huduma Bora za Afya.


“Tunawashukuru kwa moyo wenu wa uzalendo. Mazoezi ni tiba, usafi ni kinga, na uchaguzi ni haki. Tuwe sehemu ya mabadiliko kwa vitendo,” alisema Mganga Mkuu huyo.


Kwa upande wao, baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye zoezi hilo wamesema kuwa wameamua kuonesha mfano kwa jamii kwa kuchukua hatua badala ya maneno tu. Wamesisitiza umuhimu wa kujitolea katika shughuli za kijamii kama njia ya kuleta maendeleo ya pamoja.


Zoezi hili limepata muitikio mkubwa kutoka kwa wakazi wa Kibaha, na linatarajiwa kuendelea katika maeneo mengine ya manispaa hiyo katika wiki zijazo.

Matangazo

  • Walioteuliwa kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 October 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Vikundi vya Jogging Manispaa ya Kibaha vyakimbia mbio fupi na kufanya usafi lengo kuhamasisha Wananchi kushiriki kikamilifu Uchaguzi Mkuu, usafi wa mazingira

    October 18, 2025
  • Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kibaha mjini awahamasisha Wananchi kupiga kura.

    October 16, 2025
  • Heri ya siku ya Nyerere

    October 14, 2025
  • Jeshi la zimamoto na Uokoaji laadhimisha siku ya kupunguza majanga Kwa kufanya shughuli mbalimbali

    October 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Matangazo Mubashara Hafla ya Utiaji Saini mikataba ya Soko la Mnarani na miundombinu ya Barabara
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa