• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAFANYABIASHARA WADOGO KIBAHA KUANDALIWA ENEO MAALUM KIBAHA

Posted on: November 7th, 2022

Na Byarugaba Innocent,Mwanza


Madiwani wa Halmashauri ya Mji Kibaha wamekuja na mkakati mpya wa kuwasaidia wafanyabiashara ndogondogo na wale wanaotembeza 'Machinga' ili waweze kuendesha biashara zao kwa mafanikio zaidi na kuleta tija kwenye familia zao na Taifa kwa Ujumla

Mawazo ya kuwaboreshea zaidi wafanyabiashara zao yameibuliwa wakati wa ziara ya kubadilishana Uzoefu iliyofanyika Novemba 3,2022 Jijini Mwanza

Meya wa Jiji la Mwanza Mhe.Sima Constantine amesema katika kukabiliana na wimbi kubwa la wafanyabiashara wadogo wakiwemo wanaotembeza bidhaa mitaani,wameanza ujenzi wa Soko kubwa litakalogharimu kiasi cha Bilioni 23 fedha kutoka Serikali kuu na linatarajia kukamilika Machi,2023 likiwa na uwezo wa kuwahudumia wafanyabiashara zaidi ya 2000.

Aidha,Afisa Mipango wa Jiji la Mwanza Akim Albert amebainisha kuwa  Soko likiwa na Maduka 400,Vizimba 500,nafasi za wamachinga 500,stoo 10,Mama na Baba lishe 20 na wauza mbogamboga 700.

Denis Muhoja,Afisa Maendeleo ya jamii Jiji la Mwanza akitoa Uzoefu wa namna walivyowapata wafanyabiashara wadogo takribani 12,000 na kuwaweka kwenye Maeneo maalum amesema kazi ya kwanza ni kuwatambua,kuwaweka kwenye kanzidata na kufanyanao vikao mara kwa mara ili kufikia muafaka na baada ya hapo ni kufanya utekelezaji wake.

Akitoa neno la shukrani kwa Uzoefu walioupata, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba ameeleza kuwa Halmashauri ya Mji Kibaha tayari imetenga eneo maalum la wafanyabiashara hao Mtaa wa Zegereni litakalopangwa kisekata kutokana na Biashara zao na anaamini kuwa endapo watakubali kwenda wanaweza kukuza mitaji yao na kuwafanya wafanyabiashara wakubwa  na  walipa kodi wazuri hivyo kuleta tija kwa Taifa.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde ameeleza maandalizi ya awali ya kuandaa eneo hilo maalum yameanza na ametoa rai kwa Kaimu  Mkuu wa Idara ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji Adolf Msangi kuanza kuwatambua na kuandaa kanzidata kutokana na bidhaa zao itakayotumiwa wakati wa kuwapanga.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa