• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WANAFUNZI 5147 WA DARASA LA SABA KUANZA MTIHANI KWA KUHITIMU KESHO KIBAHA MJI

Posted on: October 4th, 2022

Na Byarugaba Innocent,Kibaha


Ikiwa ni takribani wiki moja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kuipatia Halmashauri ya Mji Kibaha kiasi cha fedha shilingi 760 milioni kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha Kwanza,2023 kesho Oktoba 5,2022 jumla ya wanafunzi 5145 wanaketi kuanza kufanya Mtihani wa Taifa kuhitimisha safari yao ya miaka Saba shule ya Msingi.

Afisa Elimu taaluma wa Halmashauri ya Mji Kibaha Agatha Komba amethibitisha na kwamba maandalizi kwenye shule zote 61 zenye watahiniwa maandalizi yamekamilika  huku jumla ya mikondo 229 ukiwemo mkondo mmoja kwa ajili ya mwanafunzi mwenye mahitaji maalum

Aidha,Komba ameeleza kuwa miongoni mwa watakaofanya Mtihani huo wapo wavulana 2527 sawa na asilimia 49.1 huku wasichana wakiwa 2618 sawa na asilimia 50.9

Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amesema hana shaka na maandalizi ya wanafunzi wenyewe kwani walimu wamewafundisha kikamilifu hivyo wakatumie maarifa waliyoyapata kujibia Mtihani na kufaulu.

Mwalimu Miriam Mkama Mkuu wa shule ya Msingi Maendeleo amesema kwa kipindi cha Miaka Saba wamewaandaa kikamilifu kwa kuwapa stadi mbalimbali hivyo anaamini watafaulu kwa kishindo

Kwa upande wake Mwalimu Glory Julius Mabele Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Mkuza amesema wanafunzi wote Wana Ari  na Moyo wa kufanya Mtihani wa Taifa Mwaka huu kwani wanajiamini kutokana na mazoezi ya vitendo na mitihani ya mara kwa mara waliyopimwa tangu Mwaka 2016 walipoanza darasa la kwanza hivyo  amewatakia Mtihani mwema na maandalizi ya kuanza kidato cha kwanza Mwaka 2023.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa