• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ziara ya Rais Pwani

Posted on: June 22nd, 2017

RAIS MAGUFULI AIMWAGIA SIFA PWANI KWA VIWANDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli yupo Mkoani Pwani kwa ziara ya siku tatu ambapo leo anahitimisha kwa kutembelea Kiwanda Kikubwa cha Uzalishaji wa dawa za kuangamiza Mazalia ya Mbu, Kuweka jiwe la Msingi kwenye kiwanda cha Sayona na kuzindua barabara ya Msata -Bagamoyo.

Mhe. Rais aliyeanza Ziara yake ya Kikazi  Juzi Mkoani  Pwani alipokelewa na Mwenyeji wake ambaye ni Mkuu wa Mkoa  huo  Mhandisi Evarist Ndikilo majira ya saa nane mchana kabla ya kuwahutubia Maelfu wa Wananchi waliofika Kumlaki kwenye viwanja vya Bwawani Mailimoja.

Pamoja na Mambo mengine Mhe. Rais amewataka wananchi kuchapa kazi kwa nguvu zote walizopewa na Mwenyezi Mungu ili kuiondoa Tanzania ilipo kwani nchi hii ni tajiri, yenye vivutio vingi vya kitalii ukiondoa Brazil.

Aidha, Mhe Rais ameupongeza  uongozi wa Mkoa  wa Pwani kwa kuweka Mazingira Wezeshi na kuwavutia wawekezaji kwenye sekta ya Viwanda huku akiwataka Wakuu wa Mikoa Mingine Kujiandaa na Majibu siku atakapowauliza sababu za kutokua na viwanda.

Awali akiwasilisha taarifa ya Mkoa, mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo alisema Wananchi wa Mkoa wa Pwani wanaunga Mkono kwa vitendo juhudi za Serikali ya Awamu ya tano za kuanzisha Viwanda ili kuinua uchumi wa nchi na kipato chao huku akitoa kilio kwa Mhe.Rais kukosekana kwa umeme wa endelevu na kujengewa barabara zinazounganisha wilaya ya Kisarawe na Bagamoyo kwa Kiwango cha Lami.

Tayari Mhe.Rais ameshazindua  na kuweka  mawe ya Msingi kwenye viwanda vya Global packaging kinachotengeneza  vifungashio, Kiwanda cha kuunganisha Matrekta aina ya Ursus, Kiwanda cha  Kiluwa kinachotengeneza  vyuma pamoja na kutembelea Mradi mkubwa wa kuzalisha Maji uliopo Ruvu unaojengwa kwa ufadhiri wa India.

Hii ni ziara ya Kwanza ya Mhe.Rais  kuifanya Mkoani Pwani tangu kuchaguliwa kwake Kuingoza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2015

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa